- Habari
Msigwa amshukuru Rais Samia
‘Wenye mapenzi na uandishi wakasome’ “Nawashukuru wote mlionipigia simu na kunitumia ujumbe wa kunipongeza.” Ameandika Katibu Mkuu, Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo, Gerson Msigwa mara baada ya Rais Samia kumteua kushika nafasi hiyo. Msigwa amendika “Namshukuru Mwenyezi Mungu kwa baraka zake na kunisimamia daima. Namshukuru Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kuniamini na kuniteua katika jukumu hili…
Read More » - Habari
FCC yaidhinisha mikataba 77 huduma kwa mteja
TUME ya Ushindani (FCC) imefanikiwa kusajili na kuidhinisha mikataba 77 ya huduma kwa mteja iliyoandaliwa na upande mmoja kwa mwaka wa fedha 2022/23 ikiwa ni sehemu ya kudhibiti ukiritimba. Ofisa Uhusiano Mkuu wa FCC, Nsajigwa Wilfred ameeleza hayo wakati akizungumuza na wadau wa madini katika viwanja vya Maonyesho ya Sita ya Teknolojia ya Madini mjini Geita. Nsajigwa amesema hatua hiyo…
Read More » - Biashara
Chalamila: Wafanyabishara zingatieni sheria za kulipa kodi
DAR ES SALAAM: MKUU wa Mkoa wa Dar es salaam, Albert Chalamila amewataka wafanyabiashara kuheshimu sheria za ulipaji kodi kwa kutoa risiti na kulipa kodi pindi wanapouza bidhaa zao kwa kutumia mashine za risiti za kielektroniki (EFD). Pia amewaonya wafanyabiashara kuepuka migomo wakati wanapofanyiwa mabadiliko ya makadirio ambayo hawaridhiki nayo, ni vyema wakafika kwenye Mamlaka husika ili kutatua changamoto zao.…
Read More » - Habari
Sunak kupiga marufuku sigara Uingereza
LONDON, Septemba 23 – WAZIRI Mkuu wa Uingereza, Rishi Sunak anafikiria kuanzisha hatua zitakazopiga marufuku matumizi ya sigara kwa kizazi kijacho, gazeti la The Guardian liliripoti Ijumaa, likinukuu vyanzo vya serikali. Kama Sunak atapitisha uwekezekano huo itakuwa ni hatua iliyofanywa na New Zealand mwaka jana ya kupiga marufuku kuuza tumbaku kwa mtu yoyote aliyezaliwa kuanzia mwaka 2009, ripoti hiyo ilisema.…
Read More » - Habari
Rais Samia afanya uteuzi wakuu wa wilaya, wakurugenzi
RAIS Samia Suluhu Hassan amemteua Mwanahamisi Athumani Munkunda kuwa Mkuu wa Wilaya ya Mtwara akichukua nafasi ya Hanafi Msabaha ambaye uteuzi wake umetenguliwa.–Mwanahamisi aliwahi kuwa Mkuu wa Wilaya ya Temeke na uteuzi wake ukatenguliwa na nafasi yake ikachukuliwa na Mobhare Matinyi.–Rais Samia amemteua Dk Stephen Isaac Mwakajumilo kuwa Mkuu wa Wilaya ya Nanyumbu akichukua nafasi ya Mariam Chaurembo ambaye atapangiwa…
Read More » - Habari
UTEUZI: Mkurugenzi Tanesco apelekwa TTCL
Rais Samia Suluhu Hassan RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amemteua Maharage Chande kuwa Mkurugenzi wa Shirika la Mawasiliano (TTCL).–Kabla ya iteuzi huo, Chande alikuwa Mkurugenzi wa Mtendaji Mtendaji wa Shirika la Umeme ( TANESCO).–Taarifa iliyotolewa na kusainiwa na Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu, Zuhura Yunus imeeleza kuwa Peter Ulanga aliyekuwa Mkurugenzi TTCL atapangiwa kazi ingine.–Rais Samia pia amemteua Mhandisi Gissima…
Read More » - Habari
Msigwa ateuliwa kuwa Katibu Mkuu Sanaa, Michezo
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amemteua Gerson Msigwa kuwa Katibu Mkuu Wizara ya Utamaduni na Michezo.–Taarifa iliyotolewa na Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu, Zuhuru Yunusu imeeleza kuwa nafasi ya Msemaji wa Serikali na nafasi ya Mkurugenzi Habari Maelezo itatangazwa hapo baadaye–Katika taarifa hiyo pia imeeleza Rais Samia amemteua Othman Yakubu kuwa Balozi.–Kabla ya uteuzi huo Othman Yakubu alikuwa Katibu Mkuu…
Read More » - Habari
Mahakama: ‘Jaji Mkuu ruksa kuendelea na kazi’
DAR ES SALAAM: Mahakama Kuu Masjala Kuu ya Dar es Salaam imetupilia mbali shauri la Wakili wa Kujitegemea Humphrey Simon Malenga alilolifungua dhidi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali ya Tanzania kupinga Jaji Mkuu kuongezewa muda wa utumishi. Katika hukumu iliyotolewa leo Mahakamani hapo na Jaji Geofrey Isaya, Mahakama imeeleza kuwa Kifungu cha 118(2) cha Katiba hakikai pekee, na kwa kuzingatia…
Read More » - Habari
Ukiambiwa HabariLEO Gwiji la Habari usibishe!
DSM; Mwandishi wa gazeti la HabariLEO na DailyNews Digital, Aveline Kitomary ameibuka mshindi wa jumla katika Tuzo ya Mwandishi wa Habari Bora wa uandishi wa habari za dawa,vifaatiba, vitendanishi na bidhaa za tumbaku. Tuzo hizo zimetolewa leo Septemba 22,2023 kwa mara ya pili na Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA), ambapo mwaka 2022 Kitomary aliibuka kuwa mshindi kipengele cha…
Read More » - Habari
Wanafunzi sekondari wawafanyia mtihani la saba
Mwanza MWANZA; Polisi mkoani Mwanza inawashikilia na kuwahoji watu saba kwa tuhuma za udanganyifu wa mitihani ya darasa la saba kwa kuwachukua wanafunzi wa sekondari na kuwafanyisha mitihani hiyo kwa niaba ya wanafunzi wa darasa la saba. Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa Mwanza, Wilbroad Mutafungwa amesema leo kuwa tukio hilo lilitokea Septemba 13 mwaka huu katika Shule ya Msingi…
Read More »