Biashara

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

Chalamila: Wafanyabishara zingatieni sheria za kulipa kodi

Chalamila: Wafanyabishara zingatieni sheria za kulipa kodi

DAR ES SALAAM: MKUU wa Mkoa wa Dar es salaam, Albert Chalamila amewataka wafanyabiashara kuheshimu sheria za ulipaji kodi kwa kutoa risiti na kulipa kodi pindi wanapouza bidhaa zao kwa kutumia mashine za risiti za kielektroniki (EFD). Pia amewaonya wafanyabiashara kuepuka migomo wakati wanapofanyiwa mabadiliko ya makadirio ambayo hawaridhiki nayo, ni vyema wakafika kwenye Mamlaka husika ili kutatua changamoto zao.…
TRA yataka kukusanya Sh bilioni 69

TRA yataka kukusanya Sh bilioni 69

MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA), Mkoa wa Morogoro imewekewa lengo la kukusanya Sh bilioni 69.63 kwa mwaka wa fedha wa 2023/2024 na katika kipindi cha miezi mwili Julai na Agosti imefanikiwa kukusanya Sh bilioni 9.32 Kaimu Meneja wa TRA mkoa huo, Chacha Gotora alisema hayo alipomkaribisha Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Adam Malima kufungua kikao cha wadau wa sekta mbalimbali…
TTC wawazia makubwa Mkongo wa Taifa

TTC wawazia makubwa Mkongo wa Taifa

DAR ES SALAAM; Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL), limejipanga kufanya upanuzi wa mkongo wa Taifa ili  kuongeza mawasilino hadi upande wa magharibi wa  nchi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC). Mkurugenzi  Mkuu wa TTCL, Peter Ulanga amesema hayo leo Dar es Salaam katika ziara iliyofanywa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mohamed Khamis Abdullah…
Afrika ina utajiri wa urani inayokidhi mahitaji ya kinishati yanayozidi kuongezeka duniani

Afrika ina utajiri wa urani inayokidhi mahitaji ya kinishati yanayozidi kuongezeka duniani

Tanzania ni eneo linalotoa matumaini katika shughuli za utafutaji na uchimbaji wa madini ya urani kutokana na jiolojia yake nzuri. Ikiwa ni moja ya sehemu zenye utajiri wa madini haya muhimu duniani, rasilimali hii inaweza kutoa mchango mkubwa katika ukuaji wa uchumi wa Tanzania. Pamoja nafasi ya kimkakati ya utajiri huo duniani, soko la urani duniani inazidi kuwa muhimu.Majani Wambura,…
Samia ahamasisha Uwekezaji

Samia ahamasisha Uwekezaji

PWANI: Rais Samia Suluhu Hassan, amesema milango ipo wazi kwa wawekezaji wanaotaka kuwekeza Tanzania katika harakati za kuendelea kukuza uchumi wa Taifa.–Rais Samia ameyasema hayo leo Septemba 20, 2023 Mkoa wa Pwani alipokuwa akizungumza na wananchi wa mkoa huo.–“Serikali imefanya maboresho mengi ya kisera na kikanuni, ili kuhakikisha mazingira ya uwekezaji na biashara yanakuwa bora zaidi,” amesema Rais Samia.–Amesema wawekezaji…
Upepo baharini wapandisha bei ya samaki

Upepo baharini wapandisha bei ya samaki

DAR ES SALAAM: Upatikanaji  wa samaki katika Soko la Kimataifa la Samaki Feri Dar es Salaam sio wa kuridhisha kutokana na upepo kuwa mkali baharini. Ofisa Mwandamizi wa Uvuvi kutoka sokoni hapo, Ramadhan Mtabika amesema hayo alipozungumza na HabariLeo. Amesema upepo unapokuwa mkali baharini unawafanya wavuvi wengi kutokwenda kuvua. “Hali ya samaki sio nzuri, upatikanaji wake hauridhishi kwa kuwa hali…
Sheria kali zahitajika kulinda viumbe wa majini

Sheria kali zahitajika kulinda viumbe wa majini

DAR ES SALAAM: Sheria kali inapaswa kuwekwa ili kuzuia uvuvi wa viumbe vya majini ambavyo vipo kwenye hatari ya kupotea ili kuvinusuru. Viumbe hao ni jongoo bahari, nguva, kisukuku na kasa. Ofisa Mwandamizi wa Uvuvi kutoka Soko la Kimataifa la Samaki Feri mkoani Dar es Salaam, Ramadhani Mtabika amesema hayo alipozungumza na HabariLeo. Amesema viumbe hao ambao wako kwenye hatari…
Dk Ashatu Kijaji asisitiza uwajibikaji TBS

Dk Ashatu Kijaji asisitiza uwajibikaji TBS

DAR ES SALAAM: Waziri wa viwanda na biashara Dk Ashatu Kijaji leo Septemba 18, 2023 ametembelea shirika la viwango Tanzania (TBS) ikiwa ni muendelezo wa dhamira yake ya kutembelea taasisi zote zilizopo chini ya wizara hiyo. Katika ziara hiyo waziri huyo amekagua utendaji kazi wa shirika hilo huku pia akiafuatilia utekelezaji wa bajeti kwa mwaka wa fedha ya 2023-2024 ilioanza…
TIRA kusimamia madai na fidia kulipwa kwa wakati

TIRA kusimamia madai na fidia kulipwa kwa wakati

DAR ES SALAAM: Mamlaka ya Usimamizi wa Bima Tanzania (TIRA) imesema itaendelea na mkakati wake wa utoaji elimu kwa Umma kwa kushirikisha wadau wote ili kufikia asilimia 80 ifikapo mwaka 2030. Hayo yamesemwa na Kamishna wa Bima Tanzania, Dk.Bakayo Saqware wakati akizungumza na wahariri na waandishi wa habari kupitia mkutano ulioandaliwa na ofisi ya msajili wa hazina Jijini Dar Es…
Kihenzile ataka kasi zaidi TRC

Kihenzile ataka kasi zaidi TRC

NAIBU Waziri wa Uchukuzi, David Kihenzile na Wakuu wa Wizara hiyo leo Septemba 18,2023 wametembelea Shirika la Reli Tanzania (TRC). Pamoja na kujitambulisha pia ilikuwa fursa muhimu ya kufahamu kwa kina majukukumu ya Shirika, kazi wanazofanya ikiwemo utekelezaji wa miradi ya kimkakati na mipango ya shirika. Akizungumza katika ziara hiyo, Kihenzile ameitaka TRC kuongeza kasi ya usimamizi wa miradi na…
Back to top button