Habari

Heliktopa KDF yaanguka Kenya

HELIKOPTA ya Kikosi cha Ulinzi cha Kenya (KDF) imeanguka huko Lamu na kusababisha vifo miongoni mwa wafanyakazi na wanajeshi.

Ajali hiyo ilitokea Jumatatu usiku, kama ilivyoripotiwa na KDF katika taarifa ya leo Septemba 19.

Wahudumu na wanajeshi waliokuwa kwenye helikopta hiyo walikuwa wakifanya uchunguzi wa anga kama sehemu ya operesheni inayoendelea Amani Boni.

Uongozi na jumuiya nzima ya KDF inawapa pole familia za wafanyakazi hao. Bodi ya uchunguzi imeundwa na kutumwa katika eneo la tukio ili kubaini chanzo cha ajali.” taarifa hiyo ilisema.

Related Articles

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button