Simulizi
-
SIMULIZI|PENZI LA MTOTO WA BOSS SEHEMU YA – 03
Sehemu ya Tatu (3) “Jamani mpenzi wangu ooohh! Ooohh nyny kma ni yako hiyo mpenzi oohh shiii ra,,ra,,,rahaa” (Ilisikika miguno tu ya hatari kwenye chumba hicho na mara hii Chris alizidisha Utundu kuliko kwa dada Ake Dora) “Hakutaka mambo yawe mengi akachukua mpira na kuanza kuweka uwanjani hapo sasa yakaaza magoli tu na cheka kumi wavu hali ilizidi kuwa mbaya…
Read More » -
SIMULIZI |BARUA KUTOKA KWA MAREHEMU SEHEMU YA – 02
Sehemu Ya Pili (2) Lakini kila alipojaribu kuvuta kumbukumbu vizuri juu ya ile sauti aliyoongea nayo kwenye simu, anagundua kwamba ni kweli alikuwa anaongea na Jeff. Mpenzi wake wa zamani ambaye kwa sasa ni marehemu. Sasa anazidi kuchanganyikiwa, maana amepiga simu kabisa. Tena ametoa onyo kwamba, hatakiwi kwenda Kondoa na badala yake anatakiwa kugeuza asubuhi inayofuata kurudi Dar es Salaam.…
Read More » -
SIMULIZI|BARUA KWA MAREHEMU SEHEMU YA – 01
Sehemu Ya Kwanza (1) YUPO peke yake barabarani, kwenye barabara hiyo ndefu iliyonyooka ya vumbi! Hapakuwa na gari, pikipiki wala baiskeli. Njia nzima alikuwa mwenyewe! Haikuwa barabara kubwa bali nyembamba yenye makorongo mengi ajabu. Alikuwa na pesa za kutosha kukodisha gari, lakini kwa hali ya barabara ilivyokuwa, isingekuwa rahisi kupitika! Mvua zilizokuwa zinamalizikia kunyesha ziliharibu kila kitu. Barabara ilikuwa haitamaniki!…
Read More » -
SIMULIZI|MZOA TAKATAKA SEHEMU YA – 03
Sehemu Ya Tatu (3) “Salumu usilie swala la kunisaidia mie ushachelewa nakufaa!!! baada Mwanaidi kutamka vile akaanza kutapa tapa mwisho akatulia kimyaa nikabaki kumtikisa huku nikimwita kwa nguvu “Mwanaidiiiiiiiiiii…. mama yake huku nae akiwa analia akaja mbio akiwa na majilani vilio vikaongezeka basi tukaenda kumzika kipenzi changu aliye niingiza kwenye ulimwengu wa mapenzi yani kama bikra tulitoana wote tukamuombea alazwe…
Read More » -
SIMULIZI |MZOA TAKATAKA SEHEMU YA – 02
Sehemu Ya Pili (2) Salumu na akisema unakufa tukaamua kujitokeza baada kutuona akaja mbio na kutuambia “twendeni mkamsaidie Salumu watamuuwa jamani!!! tukapanda kwenye gari yake kwa kasi akaendesha mpaka kwenye hoteli ya ubungo plaza pale baada kupaki tukashuka kucheki eneo la tukio hakuna kitu kwa hasira zangu nikamkunja yule msichana na kumuuliza ni nani kamfanyia kitendo hicho Salumu?” maana kengere…
Read More » -
SIMULIZI | KIFO CHA MENDE – SEHEMU YA 06 HADI 10
SEHEMU YA 06Mo Jay kulia kama mtoto kupewa utamu wa asali, Husna anajua kucheza na mtarimbo, anautoa na kuingiza mdomoni huku akiramba shina la uume. ENDELEA NAYO Baada ya zoezi hilo, Husna akazidi kumvua Mo Jay suruali yote na kuanza kumnyonya mapaja yake kwa lipsi zake.. Nyege zilinyegezana kimaini. “Ooooooossssshhhh… babyyy aaaaaaiiiissss.. mmmmmnhhh….aaaaah… babyyy… mmmmmmnhh…uuuuiiiiissssss.. Oooouuuuuchhh… tamu sana……Mshedede wa Mo…
Read More » -
SIMULIZI | KIFO CHA MENDE – SEHEMU YA 01 HADI 05
SEHEMU YA 1Asubuhi iliwadia huku jua likiwa lachomoza miyale yake ya kila siku, Halima akiwa na mume wake Rajabu kitandani wakiwa bado wanavuta usingizi. Gafla kuu ya mshtuko wa Halima aliamua kumuamsha mume wake ili awanie kazini, Bwana Rajabu aliamka kwa machovu makuu kisha kumwambia mke wake Halima… “Mke wangu mbona wanisumbua sana wewe, niache nilale” Mke wake Halima akamwambia…
Read More » -
SIMULIZI|MSELA SEHEMU YA – 05
SIMULIZI ♥️:Ni nani Yule?nilijiuliza,lkn sikutaka kuonesha nimeona,nilirudi ndani hata ham ya kula sikuwa nayo mana nilijua tu nasalitiwa,nikiwa nashikashika chakula japo nilishakula kingi,mama p na romeo waliigia,nilishindwa mtizama romeo usoni,yy akaja akanikumbatia,mama p alionesha kukasirika,akasema mdogo wangu maliza kula basi mm niko ndnai nataka ninyoshe nguo za mme wako,nikasema sawa dada,romeo akasem abby vipi?ujue nimetoka kwa washkaji kule haupo kumbe…
Read More » -
SIMULIZI| KITUMBUA CHA KIHINDI SEHEMU YA – 05
Sehemu ya Tano (5) “Kumbe?” “Sina kipingamizi tena” “Kipingamizi cha nini?” “Nipo tayari kufanya biashara” Ashura alizungumza huku akiwa amemkazia macho zawadi usoni. Zawadi alitoa tabasamu lililoonekana wazi kuwa lilikuwa limejaa dharau na kebehi. “Biashara gani?” alihoji Zawadi huku akijitikisa kwa nyodo. “Ya kitumbua cha kihindi” “Hata kama usingekuwa tayari ni lazima ungefanya tu” Zawadi alizungumza huku akiendelea kujitingisha tingisha…
Read More » -
SIMULIZI|PENZI LA MTOTO WA BOSS
Sehemu ya Pili (2) “Mmmhhh kwa hali hii tatizo hilooo” (Chris alijisemea moyoni baada ya kuona vailet hali ile) “Kiukweli nimekuwa sina amani katika mahusiano yangu ya kimapenzi nilipenda mtu na siku ya siku akaniumiza tu baada ya kupata alichotaka” BACKFLASH -RUDI NYUMA “Vailet ujue wewe ni msichana mzuri sana, na nimepokea sifa kwa watu wengi unajitunza na hukubali…
Read More »