Teknolojia
WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.
-
Vijana kukutana kukuza utalii nchini
ASASI ya Vijana wa Umoja wa Mataifa Tanzania (YUNA) wanatarajia kuadhimisha siku ya utalii duniani kwa kufanya kongamano la kuwakutanisha vijana katika kukuza utalii endelevu na uhifadhi wa urithi wa kitamaduni. Akizungumza na waandishi wa habari, mratibu wa tamasha hilo, Greyson Clement alisema kila mwaka 27 Septemba ni siku ya utalii duniani ambapo wao wameamua kujikita katika kuhifadhi utamaduni na…
Read More » -
Dk. Mwinyi asisitiza umuhimu wa sayansi na Teknolojia
CUBA:Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema Sayansi,Teknolojia na Ubunifu ni mambo muhimu kwa nchi zinazoendelea hasa katika masuala ya uchumi wa kijamii kwa vile nchi hizo zinaweza kubadili maisha ya watu wake kupitia sekta muhimu kama ya kilimo, nishati na elimu. Rais Dk.Mwinyi ameyasema hayo alipohutubia katika Mkutano wa Wakuu wa nchi…
Read More » -
Apple kuboresha iPhone 12 Ufaransa
KAMPUNI ya Kielektroniki ya Apple inakusudia kuboresha simu aina ya iPhone 12 nchini Ufaransa, baada ya hofu kuhusu mionzi, Waziri wa masuala ya kidijitali wa nchi hiyo anasema. Jean-Noel Barrot alisema Apple itafanya hivyo katika siku zijazo. Uuzaji wa iPhone 12 ulisitishwa nchini Ufaransa baada ya mdhibiti kugundua mionzi mingi ya sumaku umeme. Apple iliambiwa kurekebisha suala hilo. Kampuni hiyo ilisema…
Read More » -
Mwanza na mikakati ya uwanja wa ndege wa Kimataifa
MWANZA:Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Amos Makalla amesema Serikali ina Mkakakati wa kuufanya uwanja wa Ndege wa Mwanza kuwa wa Kimataifa kwa kujenga miundombinu ya Kisasa likiwemo jengo la Abiria ambapo amebainisha kuwa tayari zaidi ya Bilioni 11 zipo kwa ajili ya kuanza kwa ujenzi huo. Makalla ameyasema hayo leo wakati wa Kikao kazi na watumishi wa Uwanja wa Ndege…
Read More » -
Maji yamepungua mabwawa yanayozalisha Umeme
MOROGORO Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) Maharage Chande amewaomba watanzania kuombea nchi ipate mvua za haraka ili kuvinusuru vituo vya umeme ambavyo mabwawa yake yameanza kupungukiwa na maji ya kuzalisha nishati hiyo kwa viwango vyake. “Kuna changamoto ya kupungua kwa maji katika mabwawa ya Mtera, Kihansi na Kidatu. Kama mvua za vuli zitachelewa uzalishaji wa umeme utapungua…
Read More » -
Teknolojia ilivyowarahisishia wakulima shughuli zao
SAYANSI na Teknolojia imewawezesha wakulima kuondoka kwenye mfumo wa kizamani wa kunyunyizia viuatilifu kwa mabomba ya kubeba mgongoni hadi utumiaji wa akili bandia kwa kutumia ndege nyuki. Kaimu Mkurugenzi Mkuu kutoka Mamlaka ya Afya ya Mimea na Viuatilifu Tanzania (TPHPA), Profesa Joseph Ndunguru amesema hayo alipozungumza na HabariLeo wakati wa Kongamano la mifumo ya chakula Barani Afrika linaloendelea mkoani Dar…
Read More » -
TTCL kuimarisha usalama sekta ya mawasiliano
SHIRIKA la Mawasiliano Tanzania (TTCL) limesema litahakikisha linakuwa lango la usalama wa kitaifa wa kielektroniki kwa kuimarisha usalama wa sekta ya mawasiliano. Kadhalika limesema litahakikisha linaimarisha huduma za kimtandao za E-serikali kwa kukaribisha miundombinu na huduma muhimu za Tehama ( ICT), kwa kuwa ni kitovu cha mawasiliano nchini. Mkurugenzi wa Biashara wa TTCL Vedastus Mwita amesema hayo katika kongamano la…
Read More » -
EAC yatumia akili bandia changamoto za muhogo
TANZANIA ni miongoni mwa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) zilizofaidika na teknolojia ya akili bandia katika kutambua magonjwa ya zao la muhogo kwa kuangalia dalili zinazoonekana katika majani. Katika mazungumzo na HabariLEO Afrika Mashariki jana, Mtafiti kutoka Taasisi ya Kimataifa ya Utafiti wa Kilimo cha Kitropiki (IITA), Neema Mbilinyi, alizitaja nchi nyingine za EAC zinazonufaika na teknolojia hiyo…
Read More » -
Sh bilioni 1 kutumika kwenye tafiti
SERIKALI kupitia Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imetoa Sh. bilioni 1.29 kwa ajili ya utekelezaji wa miradi saba ya kitafiti kutoka katika taasisi mbalimbali hapa nchini. Akizungumza wakati wa kuhitimisha mafunzo na utoaji ufadhili huo kwa watafiti wanufaika wa miradi hiyo Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Carolyne Nombo amesema fedha hizo zinatokana na…
Read More » -
Serikali yajiimarisha intaneti maeneo ya umma
KATIKA kuhakikisha huduma za mawasiliano zinasambaa nchini, serikali inakusudia kuimarisha huduma za hizo kwa kuweka mtandao wa Intaneti bure (WIFI) kwenye mikusanyiko ya watu, vyombo vya usafiri na kwenye shule, ili kila mwananchi apate huduma hiyo bila usumbufu wowote. Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhandisi Methew Kundo, wakati akifungua kikao cha 41 cha…
Read More »